HABARI ZILIZOTUFIKIA
Mwakifamba: Mkutano wa ndani CCM Bashiru, Samia Suluhu na Makonda...
Brighiter Masaki, Dar es salaam KATIBU Mwenezi Ccm Mkoa wa Dar es Salaam, Saimon Mwakifamba ametangaza kuwa Octoba 5 mwaka huu kutakuwa...
SIASA
Wenyeviti wanne upinzania wahamia CCM
Mohamed Hamad Kiteto
Wenyeviti wanne wa serikali za mtaa wa vyama vya upinzani mji
mdogo wa Kibaya, wilayani Kiteto mkoani...
Vikwazo kwa wanawake, vijana kuwania nafasi za uongozi
Janeth Mushi -Arusha
"DEMOKRASIA ya usawa itasaidia kuongeza idadi ya wanawake
na vijana katika kuwania nafasi mbalimbali za uongozi,...
MAONI
Wanamuziki wa dansi mnakwama wapi? Fanyeni maamuzi
INAPENDEZA
unapoona muziki wa Bongo Fleva ukizidi kuchanua kadri siku zinavyokwenda lakini
wakati huo huo upande wa dansi hali bado ni tete.
BUNGENI
Uchunguzi ajali lori la mafuta wakamilika
Mwandishi Wetu, Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kamati
aliyounda kuchunguza ajali ya lori la mafuta iliyotokea Agosti 10, mwaka...
Ndugai atoa neno msamaha wa kina Nape
ANDREW MSECHU - DODOMA
SPIKA wa Bunge, Job Ndugai, amepongeza hatua ya wabunge watatu
waliojitokeza kumwomba msamaha Rais Dk. John...
Serikali yatahadharisha wananchi kupuuza vitu vinavyong’ara wasiokote mabomu
Mwandishi Wetu, Dodoma
Waziri wa Ulinzi na
Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Hussein Mwinyi amewataka wananchi hususani mkoani
Kagera, kuendelea...
Bashe: serikali imeimarisha utawala bora kukabiliana na viongozi wabadhirifu AMCOS
Mwandishi
Wetu, Dodoma
Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema
wizara hiyo kupitia tume imeendelea kuimarisha misingi ya utawala bora...
MICHEZO
Ngorongoro Heroes kamili kuimaliza Sudan
Winfrida Mtoi -Dar es salaam
TIMU ya Taifa ya vijana walio na umri chini
ya miaka 20 ‘ Ngorongoro...
MKUDE, NYONI WATUNISHA MSULI SIMBA
Mwandishi wetu -Dar es salaam
WACHEZAJI
Jonas Mkude, Clatous Chama na Erasto Nyoni huenda wakaingia matatizoni na klabu
yao ya...
ZAHERA APIGA BAO TFF
THERESIA GASPER-DAR ES SALAAM
KILIO cha Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera kuomba mechi
zao zisogezwe mbele ili kutoa nafasi...
SPONSORED ARTICLES
Parimatch yawazawadia washindi 10 wa mchezo wa bahati nasibu
Mshindi wa kwanza katika bahati nasibu ya Parimatch, Fred Chacha, kutoka Geita (katikati) akivaa kofia ngumu ya pikipiki wakati wa...
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) yachora alama za barabarani
Wananchi wakitumia alama za kivuko cha waenda kwa miguu kilichochorwa na Benki ya Taifa ya Biashara (NBC). NBC kupitia kitengo cha...
BENKI YA NBC YACHANGIA UJENZI WA KITUO CHA POLISI RUANGWA MKOANI...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (watatu kushoto) akipiga picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Theobald Sabi...





























































































