27.2 C
Dar es Salaam
Friday, May 3, 2024

Contact us: [email protected]

AIC Nira Gospel Choir, Lemi George wazidi kupaa

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital

Mwimbaji wa gospo kutoka jijini Mwanza, Lemi George na kwaya ya AIC Nira, wamefanikiwa kujizolea mashabiki wapya kupitia wimbo wao mpya, Msalabani.

Akizungumza na mtanzania.co.tz leo, Lemi, alisema anamshukuru Mungu kwa mapokezi makubwa ya video ya wimbo huo ambao umefanya vizuri katika msimu wa sikukuu ya Pasaka.

“Huu ni upendo mkubwa ambao mashabiki wa Injili wametuonyesha mimi na AIC Nira Gospel Choir ya hapa Nyakato Mwanza, video tayari ipo kwenye chaneli yetu yao ya YouTube na bado tunaomba sapoti ili tuweze kuwafikia watu wengi zaidi pia hivi karibuni tumeachia wimbo Mungu wa Rehema ambao tayari upo mtandaoni,” amesema Lemi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles