30.7 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 30, 2024

Contact us: [email protected]

Jonathan Budju mbioni kuachia kitu kipya

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital

Staa wa muziki wa Injili nchini Canada, Jonathan Budju, mwishoni mwa wiki hii anatarajia kufanya video kwaajili ya wimbo wake mpya utakaotoka hivi karibuni.

Budju ambaye amejizolea umaarufu mkubwa ndani na nje ya Canada kwa mtindo wake wa Model Gospel, ameweka wazi kuwa wimbo huo utatoka chini ya lebo yake ya Mastola Music.

“Nipo kwenye maandalizi ya kutoa wimbo wangu mpya ambao utakuwa out mwezi mmoja na nusu kutoka sasa, mashabiki wamekuwa na kiu ya kupata muziki mzuri kutoka kwangu,” amesema Budju anayetamba na wimbo Utukufu.

Jonathan Budju a.k.a Son of God ameendelea kuikumbuka jamii ya waafrika wenye uhitaji Afrika Mashariki kupitia taasisi yake ya JB Foundation.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles