25.3 C
Dar es Salaam
Friday, May 3, 2024

Contact us: [email protected]

Shadrack Monga, Japhet Zabron watoka na ‘Siwezi Amini’

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital

MWIMBAJI anayekuja kwa kasi kwenye muziki wa Injili kutoka nchini Marekani, Shadrack Monga, amerudi kivingine na wimbo Siwezi Amini akiwa amemshirikisha Japhet Zabron.

Monga, amekuwa akijizolea unaarufu kwenye muziki huo kupitia nyimbo zake mbalimbali na sasa hivi amewabariki mashabiki wa Afrika Mashariki kupitia kolabo hiyo.

Akizungumza na mtanzania.co.tz Monga amesema tayari audio na video ya wimbo huo inapatikana kwenye mitandao mbalimbali hasa chaneli yake ya YouTube.

“Mapokezi ni mazuri, nashukuru video inachezwa kwenye TV kubwa hapo Afrika Mashariki, kiu yangu ni kuona injili inawafikia wengi zaidi,” amesema Monga.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles