Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Ufaulu wa mtihani wa kumaliza elimu ya msingi mwaka 2024 umeongezeka kwa asilimia 80.87, tofauti na mwaka 2023 ambapo ulikuwa...
Na Absalom Kibanda
LALA salama Rais wa mioyo ya watu wema, Alhaji Ali Hassan Mwinyi. Darasa lako gumu la uongozi limeacha ombwe.
Waliovaa kiatu chako cha...
Na Mwandishi Wetu
Waziri Mkuu , Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Uchukuzi iendelee kulisimamia kwa karibu Shirika la Reli Tanzania (TRC) na kuhakikisha huduma za treni ya...
Na Mwandishi Wetu
Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika Eng. Hersi Said, ameshinda Tuzo ya mwanamichezo mwenye mchango kwenye maendeleo ya...
Na Mwandishi Wetu
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Oktoba 7,2024 ametembelea mazoezi ya timu ya Taifa, Taifa Stars inayojiandaa na michezo miwili ya kufuzu michuano...
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera Bunge na Uratibu), William Lukuvi, ameendelea kuunga mkono kampeni ya kutumia nishati...
Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital
Mashindano ya gofu ya Kombe la Mkuu wa Majeshi 'NMB CDF Trophy' yanatarajiwa kufanyika Oktoba 4-6,2024, huku mchezaji atakayefanikiwa kupiga...
Renatha Kipaka, Bukoba
Jeshi la polisi Mkoa wa Kagera linamshikiria mwalimu Adrian Tinchwa (36)kwa kosa la mauaji ya mwanafunzi Phares Buberwa (16) kidato cha tatu...
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
KAMPUNI namba moja ya michezo ya kubashiri nchini Betika imezindua rasmi Kampeni yake kubwa ya "Mtoko wa Kibingwa" kwa Msimu...