23.4 C
Dar es Salaam
Saturday, April 27, 2024

Contact us: [email protected]

Rick Ross ampongeza Mkangisa

NEW YORK, Marekani

RAPA mwenye jina na heshima kubwa kwenye soko la muziki duniani, Rick Ross, amempongeza staa wa filamu Afrika Kusini, Khanya Mkangisa, kwa kufikisha wafuasi milioni mbili kwenye mtandao wa Instagram.

“Hongera kwa kufikisha wafuasi milioni mbili. Sasa fanya wafikie milioni nne. Umenisikia?” ameandika Ross akielekeza ujumbe kwa Khanya mwenye umri wa miaka 33.

Khanya, ambaye pia ni mtangazaji wa vipindi vya televisheni, amejizolea umaarufu mkubwa, hasa kwa uwezo aliouonesha kwenye tamthilia ya Isidingo.

Kwa wafuatiliaji wa soka la muziki la Afrika Kusini, wanafahamu kuwa bibiye huyo anatoka kimapenzi na rapa J Molley.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles