HomeHabari Kuu Habari KuuKitaifaPhotography Rais Samia awasili Norway kwa ziara ya Kitaifa By Mtanzania Digital February 13, 2024 0 1165 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan awasili Oslo, Norway kwa ajili ya Ziara ya Kitaifa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mfalme Harald V wa Norway mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo Februari 13, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya mapokezi yake katika Kasri la Kifalme, Oslo nchini Norway 13Februari, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mfalme Harald V wa Norway pamoja na Malkia Sonja mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo kwa ajili ya ziara ya Kitaifa Februari 13, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Mfalme Harald V wa Norway mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo Februari 13, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Mfalme Harald V wa Norway wakati wa Wimbo wa Taifa wa Tanzania ukiimbwa katika eneo la Mnara wa Kumbukumbu wa Taifa, Oslo nchini Norway, Februari 13, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kuweka shada la maua katika Mnara wa Kumbukumbu wa Taifa, Oslo nchini Norway Februari 13, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiweka shada la maua katika mnara wa kumbukumbu wa Taifa, Oslo nchini Norway Februari 13, 2024. - Advertisement - Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp Previous articleMatukio kwa Picha: Rais Samia atembelea Bunge la NorwayNext articleDk. Mango aongoza Watanzania kumuaga Lowassa Dar Mtanzania Digitalhttp://mtanzania.co.tz Related Articles Habari Kuu Wanyamapori wakali wametufanya tuhame hifadhini -Wananchi ngorongoro Habari Kuu MIAKA 60 YA MUUNGANO: Rais Samia ahimiza falsafa ya 4R kuuenzi Afya na Jamii OSHA yatoa mafunzo kwa wajasiriamali 250 Arusha LEAVE A REPLY Cancel reply Comment: Please enter your comment! Name:* Please enter your name here Email:* You have entered an incorrect email address! Please enter your email address here Website: Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ Stay Connected90,904FansLike214,997FollowersFollow586,000SubscribersSubscribe Latest Articles Habari Kuu Wanyamapori wakali wametufanya tuhame hifadhini -Wananchi ngorongoro Habari Kuu MIAKA 60 YA MUUNGANO: Rais Samia ahimiza falsafa ya 4R kuuenzi Afya na Jamii OSHA yatoa mafunzo kwa wajasiriamali 250 Arusha Afya na Jamii GGML, OSHA wawanoa mama lishe 50 kukabiliana na majanga ya moto Afya na Jamii TCRA yatoa mafunzo kwa Waandishi wa Habari Mara kuelekea Uchaguzi Load more