HomeBungeni BungeniKimataifaKitaifa Matukio kwa Picha: Rais Samia atembelea Bunge la Norway By Mtanzania Digital February 13, 2024 0 2118 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewasili Oslo, Norway kwa ajili ya Ziara ya Kitaifa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Norway (Storting) Svein Harberg katika Ofisi za Bunge hilo jijini Oslo Februari 13, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Norway (Storting) Svein Harberg katika Ofisi za Bunge hilo Jijini Oslo Februari 13, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipeana mkono na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Norway (Storting) Svein Harberg mara baada ya mazungumzo katika Ofisi za Bunge hilo Jijini Oslo Februari 13, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisaini Kitabu cha wageni katika Ofisi za Bunge la Norway (Storting) Februari 13, 2024. - Advertisement - Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp Previous articleDk. Kikwete: Lowassa ametoa mchango mkubwa kwa Taifa, mema yake hayafutikiNext articleRais Samia awasili Norway kwa ziara ya Kitaifa Mtanzania Digitalhttp://mtanzania.co.tz Related Articles Habari Kuu MEI MOSI 2024; Kikokotoo kufanyiwa uchambuzi, nyongeza mishahara kutangazwa karibuni Biashara na Uchumi Makonda aisisitiza GGML kuhakikisha CSR inabadilisha maisha ya wana-Geita Biashara na Uchumi Majaliwa ashuhudia utiaji saini miradi ya umwagiliaji ya Sh bilioni 258 LEAVE A REPLY Cancel reply Comment: Please enter your comment! Name:* Please enter your name here Email:* You have entered an incorrect email address! Please enter your email address here Website: Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ Stay Connected90,904FansLike214,997FollowersFollow586,000SubscribersSubscribe Latest Articles Habari Kuu MEI MOSI 2024; Kikokotoo kufanyiwa uchambuzi, nyongeza mishahara kutangazwa karibuni Biashara na Uchumi Makonda aisisitiza GGML kuhakikisha CSR inabadilisha maisha ya wana-Geita Biashara na Uchumi Majaliwa ashuhudia utiaji saini miradi ya umwagiliaji ya Sh bilioni 258 Kilimo Bashe azindua Bodi ya Mkonge, yaahidi kufanya kazi kwa weledi Biashara na Uchumi Bashungwa amsweka ndani mkandarasi daraja Mpijichini Load more