24.1 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

Pence ‘aungana’ na Trump kupinga ushindi wa Biden

Washington, Marekani

Makamu wa Rais wa Marekani, Mike Pence amekaribisha hatua za dakika za mwisho za kundi la Maseneta kupinga kuidhinishwa kwa ushindi wa uchaguzi wa urais wa, Joe Biden.

Maseneta 11 wa Republican na Maseneta wateule, wakiongozwa na Ted Cruz, wanataka kura ya kuidhinisha ushindi wa Biden kuchelewasha kwa siku 10 ili kuchunguza madai ya wizi wa kura.

Hatua hiyo huenda isifaulu kwa sababu Maseneta wengi wanatarajiwa kupiga kura ya kumuidhinisha Biden bungeni Jumatano Januari 6. Biden, ambaye ni Mwanachama wa Democratic, ataapishwa rasmi kuwa rais wa Marekani Januari 20.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles