HomeKitaifa KitaifaSiasa Matukio kwa picha Ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Kilimanjaro By Mtanzania Digital August 3, 2022 0 1928 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Daniel Chongolo akifurahia jambo kutoka kwa Mwenyekiti, Fatma Mgonja wa Shina namba 2, tawi la Msasani kata ya Kaloleni, Wilaya ya Moshi mkoa wa Kilimanjaro. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Daniel Chongolo akizungumza na wananchi mara baada ya kukagua mradi uboreshaji vibanda vya biashara wa Chama Old Moshi ikiwa sehemu ya ziara yake ya Chama pamoja na kukagua, kuhimiza na kusimamia Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi 2020 – 2025. - Advertisement - Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp Previous articleWasindikizaji/wasambazaji maziwa mbadala na vyakula vya watoto zingatieni sheriaNext articleWafanyabiashara wa Samaki Moshi wamuangukia Chongolo Mtanzania Digitalhttp://mtanzania.co.tz/ Related Articles Habari Kuu Serikali yafanya utafiti wa hali ya upatikanaji na matumizi ya nishati nchini Uncategorized Kadogosa awataka wajumbe CCM kutangaza mazuri ya SGR Biashara na Uchumi Benki ya Akiba yawazawadia washindi Kampeni ya Twende Kidigitali LEAVE A REPLY Cancel reply Comment: Please enter your comment! Name:* Please enter your name here Email:* You have entered an incorrect email address! Please enter your email address here Website: Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ Stay Connected90,904FansLike214,997FollowersFollow593,000SubscribersSubscribe Latest Articles Habari Kuu Serikali yafanya utafiti wa hali ya upatikanaji na matumizi ya nishati nchini Uncategorized Kadogosa awataka wajumbe CCM kutangaza mazuri ya SGR Biashara na Uchumi Benki ya Akiba yawazawadia washindi Kampeni ya Twende Kidigitali Elimu na Teknolojia Wanafunzi Chuo Kikuu Ardhi kupikwa zaidi kukabili soko la ajira Biashara na Uchumi Maandalizi ya mkutano wa Nishati wa wakuu wa nchi Afrika (MISSION 300) yamefikia 95%-Dk. Biteko Load more