HomeAfya na Jamii Afya na JamiiBiashara na UchumiElimu na Teknolojia Matukio kwa picha: Mkutano wa tathmini ya utoaji huduma DAWASA By Mtanzania Digital July 8, 2021 0 976 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Waziri wa Maji, Juma Aweso (kulia) akimkabidhi Tuzo ya Utendaji bora Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) Mhandisi Cyprian  wakati wa mkutano wa tathimini utoaji wa huduma za maji mikoa ya Pwani na Dar es Salaam jana kwa Mwaka wa Fedha wa 2021, ambapo waziri ameahidi kwa mwaka wa fedha wa 2021 watahakikisha wanafikia mlengo kwa kukamilisha miradi yote ya maji. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi wa DAWASA, Mkuu wa Majeshi mstaafu, Jenerali, Davis Mwamunyange. Waziri wa Maji, Juma Aweso akizungumza na wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira(DAWASA) wa mikoa ya Pwani na Dar es Salaam jana wakati wa mkutano wa tathimini utoaji wa huduma za maji mikoa hiyo kwa Mwaka wa Fedha wa 2021, ambapo waziri ameahidi kwa mwaka wa fedha wa 2021 watahakikisha wanafikia mlengo kwa kukamilisha miradi yote ya maji. Waziri wa Maji, Juma Aweso akijaribu magari mpya ya kubebea majitaka yaliyonunuliwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) wakati wa mkutano wa tathimini utoaji wa huduma za maji mikoa ya Pwani na Dar es Salaam jana kwa Mwaka wa Fedha wa 2021, ambapo waziri ameahidi kwa mwaka wa fedha wa 2021 watahakikisha wanafikia mlengo kwa kukamilisha miradi yote ya maji. - Advertisement - Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp Previous articleWaziri Jenista Mhagama aipongeza WHC, aitaka kushirikiana na taasisi nyingineNext articleMavunde awataka walimu wanawake kuchangamkia fursa za kiuchumi Mtanzania Digitalhttp://mtanzania.co.tz/ Related Articles Biashara na Uchumi Ushirikiano wa Benki ya Stanbic na Ramani waenda kuboresha sekta ya biashara nchini. Biashara na Uchumi TBL, IFC na COPRA wahimiza mfumo wa kilimo cha mkataba Elimu na Teknolojia Benjamin Mkapa yadhamiria kufuta sifuri matokeo kidato cha nne, sita LEAVE A REPLY Cancel reply Comment: Please enter your comment! Name:* Please enter your name here Email:* You have entered an incorrect email address! Please enter your email address here Website: Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ Stay Connected90,904FansLike214,997FollowersFollow586,000SubscribersSubscribe Latest Articles Biashara na Uchumi Ushirikiano wa Benki ya Stanbic na Ramani waenda kuboresha sekta ya biashara nchini. Biashara na Uchumi TBL, IFC na COPRA wahimiza mfumo wa kilimo cha mkataba Elimu na Teknolojia Benjamin Mkapa yadhamiria kufuta sifuri matokeo kidato cha nne, sita Biashara na Uchumi Mifumo ya kidijitali Brela yachochea maendeleo ya viwanda, biashara Biashara na Uchumi PPRA yasaini mkataba wa makubaliano na UNDP kuongeza ufanisi Load more