23.4 C
Dar es Salaam
Saturday, April 27, 2024

Contact us: [email protected]

YANGA: HATUJAPOKEA BARUA YA MDHAMINI KUJIUZULU

ABASI SHABANI – DAR ES SALAAM

Uongozi wa Klabu ya Yanga SC umekanusha uvumi unaoenea kuwa imepokea barua kutoka kwa mmoja ya wadhamini wao akieleza nia ya kujiuzulu kuidhamini timu yao.

Aidha, timun hiyo imeeleza haijawahi kujadili wala kuhitaji fedha za hamasa kwa wachezaji zinazotolewa na mdhamini wao Kampuni ya GSM zipitie mikononi mwao kama inavyoelezwa na baadhi ya watu.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles