24.5 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

Mkongwe wa saxafoni Cameroon afariki kwa corona

Mwanamuziki nguli aliyetamba kwa Muziki wa Afro Jazz na uchezaji ala ya muziki wa Saxafoni nchini Cameroon, Manu Dibango amefariki dunia leo Jumanne Machi 24, baada ya kuugua ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona.

Dibango alitambulika vyema kupitia kibao chake cha Soul Makossa alichokiimba mwaka 1972. Mwanamuziki huyo anakuwa msanii wa pili Afrika kufariki kwa ugonjwa wa corona, mwingine ni Aurlus Mabele kutoka nchini Congo aliyefariki wiki iliyopita.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles