23.6 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

LINAH HABADILI DINI SABABU YA MAPENZI

Na BRIGHITER MASAKI

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Linah Sanga ‘Linah’, amesema si sawa kubadili dini kwa sababu ya mapenzi.

Akizungumza na MTANZANIA, Linah amesema hayo baada ya baba mtoto wake kuwa wa dini tofauti na yeye, hivyo amedai kama atabadili dini ni kwa sababu ya Mungu na si mapenzi.

“Unajua kiimani hutakiwi kufanya vitu juu juu, hata ukibadilisha dini ni kwa sababu ya Mungu si kwa sababu ya mapenzi, kwa upande wangu sikutaka kufanya hivyo.

“Kwa upande wa mume hawapo tayari mtoto wao abadili dini na hata kwetu pia hawapo tayari wakiniona nabadili dini, lakini maisha yanaendelea kila mmoja na dini yake,” alisema Linah.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles