24.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

Shikalo: Sijagoma kuongeza mkataba Yanga

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital

Kipa wa Yanga, Farouk Shikalo, ameweka bayana kuwa hajagoma kuongeza mkataba mpya na kwa sasa anaelekeza nguvu katika mechi ya Ligi Kuu zilizobaki na mechi ya nusu fainali ya kombe la shirikisho la Azam.

Shikalo ambaye mkataba wake unafikia ukingoni mwishoni mwa msimu huu, amesema taarifa zinazosambaa si za kweli.

“Hizi ni rumors tu zinasambazwa na watu tu mitandaoni, kwa sasa nguvu naelekeza kwenye michezo ambayo imebaki ya ligi kuu na FA,” amesema Shikalo akijibu maswali anayoulizwa na mashabiki wa kikosi hicho kupitia mitandao yake ya kijamii.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles