27.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 18, 2024

Contact us: [email protected]

Rais Samia atangaza neema kwa wasanii

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital

Rais wa Samia Suluhu amesema wasanii wa muziki nchini wataanza kulipwa milabaha kutokana na kazi zao kuchezwa katika vituo vya redio na runinga kuanzia Desemba mwaka huu.

Rais Samia amesema hayo leo wakati akizungumza na vijana kwenye Uwanja wa Nyamagana, jijini Mwanza.

“Serikali imeimalisha hati miliki za wasanii, nataka kuwaambia kwamba kuanzia mwaka huu wasanii wataanza kulipwa milabaha ya kazi zao zinazochezwa redioni na televisheni,” amesema Rais.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles