25.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

Nyota BSS wawa mabalozi wa simu

DSCF9323NA MOHAMED MHARIZO

WALIOKUWA washiriki wa Shindano la Bongo Star Search 2015 wameteuliwa kuwa mabalozi wa kampeni ya ‘Jiekotishe na Huawei’ sambamba na uzinduzi wa simu mpya maalumu kwa msimu wa sikukuu.

Mabalozi hao ni Nassib Fonabo aliyeshika nafasi ya pili katika shindano la BSS, Frida Amani mshindi wa tatu na Kelvin Gerrison.

Naye Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko, Samson Majwala, alisema wamezindua kampeni hiyo kwa lengo la kutoa zawadi kwa watakaonunua simu hizo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles