25.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

Msajili Vyama vya Siasa awaonya wapotoshaji

Elizabeth Joachim, Dar es Salaam
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, amesema Sheria ya Vyama vya Siasa haijaweka sharti kwa mwanachama wa chama cha siasa akihama chama ni lazima akae miaka miwili ndipo agombee katika uchaguzi unaohusisha vyama vya siasa.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Ijumaa Aprili 5, na Jaji Mutungi, sheria hiyo na kanuni zake haina kifungu kinachoweka masharti kwa mwanachama kuhama kutoka chama kimoja kwenda kingine.

“Hivyo, nawaomba wananchi na wadau wote wakuu kupuuzia habari za uongo na ninawaasa wanaosambaza habari hizo kuacha mara moja kwani wanapotosha wananchi,” amesema Msajili amesema.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles