22.7 C
Dar es Salaam
Sunday, May 5, 2024

Contact us: [email protected]

Matukio kwa Picha: Dk. Tulia aongoza zoezi la kuchagua viongozi wa Bunge Sports Club

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipiga kura wakati wa zoezi la kuchagua viongozi Mbalimbali wa timu ya Bunge Sports Club leo katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma, kushoto ni Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson.
Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson akiongoza zoezi la upigaji kura kuchagua viongozi Mbalimbali wa timu ya Bunge Sports Club leo katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Mbunge wa Kasulu Vijijini, Vuma Augustino akiomba kura kwa nafasi ya Mwenyekiti wa timu ya Bunge Sports Club leo katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Wakati wa zoezi la kuchagua viongozi Mbalimbali wa timu ya Bunge Sports Club.
- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles