23.4 C
Dar es Salaam
Saturday, April 27, 2024

Contact us: [email protected]

Mama awataka Blac na Rob waoane

Rob na BlacLOA ANGELES, MAREKANI

MAMA wa Blac Chyna, Shalana Hunter, amemtaka mwanawe kuoana na mpenzi wake, Rob Kardashian.

Wawili hao wameanzisha uhusiano mwanzoni mwa mwaka huu, lakini uhusiano wao umekuwa na utata katika familia ya Kardashian kutokana na Blac kutoka na msanii wa hip hop, Tyga ambaye kwa sasa msanii huyo anatoka na mdogo wa Kim Kardashian, Kylie Janner.

Kutokana na hali hiyo, familia ya Kardashian ilifikia hatua ya kugombana na ndugu yao, Rob kutokana na msichana huyo, lakini mama wa Blac amewataka wawili hao kuoana.

“Ni vizuri mipango ya ndoa ikaanza kufanyika mapema iwezekanavyo ili kuweza kupunguza maneno ya watu ambayo yanaendelea kwenye mitandao ya kijamii,” alisema mama wa Blac.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles