23.3 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

MAGUFULI ATIA SAINI SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI YA MWAKA   2016

rais-john-pombe-magufuliRais John Pombe Magufuli ametia saini Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016 iliyopitishwa na Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mktano wa tano mijiji Dodoma.

Rais Magufuli ametia saini sheria hiyo tarehe 11 Novemba 2016 huku akiwapongeza wadau wote kwa kufanikisha kutungwa kwa Sheria hiyo.

Rais Magugufuli amesema kuwa anaamini Sheria hiyo itasaidia kuboresha sekta ya habari kwa manufaa ya wanataalima wenyewe na Taifa .

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles