23.6 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

IS WALIPUA MSIKITI WA KIHISTORIA IRAK

MOSUL, IRAK



JESHI la Irak limethibitisha kuwa wanamgambo wajiitao Dola la Kiislamu (IS) wameulipua msikiti mkuu wa Al-Nuri uliopo mjini hapa.

Msikiti huo wa kihistoria unaaminika ndimo kiongozi wa wanamgambo hao, Abu Bakr al-Baghdadi alitoa hotuba yake miaka mitatu iliyopita wakati alipokuwa akitangaza u-khalifa mpya.

Mapema jana, Jeshi la Irak lilisema askari wake walikuwa mita kadhaa kutoka msikiti huo katika harakati zao za kusonga mbele kwenye mapambano.

Lengo la jeshi hilo lilikuwa ni kujaribu kuteka ngome kuu ya wanamgambo hao.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles