23.3 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

Hazard awachefua mashabiki Madrid.

Kitendo cha  Eden Hazard,  kuonekana akicheka na wachezaji wa timu yake ya zamani Chelsea akiwapongeza kwa ushindi, kimewakera mashabiki wa Real Madrid.

Chelsea jana ilifanikiwa kutinga fainali ya Champions League kwa kuifunga Real Madrid mabao 2-0.

Kwa mujibu wa mtandao wa Marca, Hazard alionekana katika kamera akitaniana na kucheka na baadhi ya nyota wa Chelsea.

Kitendo hicho hakijawafurahisha mashabiki wa Madrid ambao hawajaridhishwa na hali ya kupoteza mchezo  huo wa nusu fainali.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles