23.4 C
Dar es Salaam
Saturday, April 27, 2024

Contact us: [email protected]

Dully Sykes amgaragaza T.I.D

dullyNA VALERY KIYUNGU, DAR ES SALAAM

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva nchini Abdul Sykes ‘Dully Sykes’, amemgaragaza Khalid Mohamed ‘T.I.D’ kwa idadi kubwa ya mashabiki wa muziki wao.

Wasanii hao walishindanishwa katika kituo cha radio One ambapo walikuwa wanawashindanisha kwa ubora wa nyimbo zao huku mashabiki wa muziki huo wakipiga kura kumchagua mkali zaidi.

Dully alifanikiwa kuibuka kidedea kwa kumzidi mpinzani wake kwa kura 12-11 za mashabiki ambao walifuatilia shoo hiyo.

Nyimbo ambazo zilimpa ushindi Dully ni pamoja na ‘Hai’ na ‘Dhahabu, huku nyimbo za T.I.D zikiwa ni ‘Understanding na ‘Mpenzi Lisa’.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles