30.2 C
Dar es Salaam
Saturday, April 27, 2024

Contact us: [email protected]

50 CENT AKIWASHA, AMCHOKOZA JA RULE

WAKATI Jan Rule akiendelea kupitia hali ngumu ya kiuchumi, mpinzani wake mkubwa kwenye muziki wa Hip hop, 50 Cent, ameamua kumkejeli.

Kama ilikupita, Ja Rule na mkewe, Aisha, wanahenyeshwa na deni la kodi ya Serikali inayofikia Dola milioni tatu (zaidi ya Sh bil. 6 za Tanzania).

Kama ambayo Cent anafahamika kwa kuwakera maadui zake, ameposti ujumbe unaosomeka: “Lipa deni la kodi.”

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles