25.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

BONDE LA MSIMBAZI KUKARABATIWA KUNUSURU KITUO CHA MWENDOKASI

Elizabeth Hombo, Dodoma              |          


Serikali imesema itafanya ukarabati mkubwa katika bonde la Msimbazi, jijini Dar es Salaam.

Kauli hiyo imetolewa leo bungeni na Naibu Waziri Nchi, Ofisi ya Rais (Tamisemi), Josephat Kandege wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Suzan Lyimo ambaye alihoji ni lini miundombinu ya stendi ya mwendokasi itakarabatiwa.

Alijibu swali hilo, Kandege amesema Julai 20 mwaka huu, kandarasi itafunguliwa ili miundombinu ya stendi ya mwendokasi yakarabatiwe.

“Suala lililopo si kuhamisha stendi bali suala ni miundombinu ipi inakwepo pale. Na mpango mahususi ambao serikali inao ni kurekebisha miundombinu ya bonde la Msimbazi na Julai 20 kandarasi itafunguliwa ili miundombinu pale Jangwani iwe na uhakika,”amesema.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles