25.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

Waganga wahimizwa kuwafichua wahalifu

mganga

Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Tiba za Asili Tanzania (Shivyatiata),  Abdulrahman Lutenga, amewataka waganga wote nchini kuwafichua wenzao waonajihusisha na vitendo vya upigaji ramli chonganishi   na kuwatakasa majambazi.

Lutenga alikuwa akizungumza na waganga wa tiba asilia  wilayani Maswa jana.

Alisema    ili kutatua changamoto zilizopo ni vema kukawa na utaratibu wa kuchunguzana na kutambuana  katika kazi zao.

Bila   kuwafichua waganga wanaosaidia uhalifu, wote wanaweza kuhesabiwa kuwa wahalifu, alisema.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles