31.2 C
Dar es Salaam
Saturday, April 27, 2024

Contact us: [email protected]

Sam Hamisi aachia ‘Tenda Wema’

MICHIGAN, MAREKANI

MWIMBAJI wa Injili kutoka nchini Marekani, Sam Hamisi Luc, amewaomba wapenzi wa muziki huo kusikiliza kwa makini ujumbe uliopo kwenye wimbo wake mpya, Tenda Wema.

Akizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, Sam alisema wimbo huo ambao umetoka wikiendi hii, umebeba ujumbe unaotoa hamasa kwa jamii kutendeana wema kila wakati.

“Nimeachia wimbo wangu mpya unaitwa Tenda Wema, natamani kila mmoja ausikilize ili apate ujumbe ambao una hamasisha watu wa Mungu kutendeana wema, video tayari nimeiweka kwenye chaneli yangu ya YouTube naomba sapoti,” alisema Sam.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles