HomeAfya na Jamii Afya na JamiiKitaifa Picha| TACAIDS yakutanisha wadau kujadili Jukwaa la Kidigitali la ONGEA By Mtanzania Digital November 5, 2022 0 1289 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Jumanne Issango akifungua Warsha ya Vijana ya kujadili na kutengeneza jukwaa la Kidigitali la ONGEA. Kupitia Jukwaa hili Vijana watapata taarifa sahihi kuhusu Afya ya Uzazi, VVU na UKIMWI. Mratibu wa Program za UKIMWI Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Dk. Pendo Saro akielezea malengo ya Warsha ya Vijana ya kujadili na kutengeneza Jukwaa la Kidigitali la ONGEA. Kupitia Jukwaa hili Vijana watapata taarifa sahihi kuhusu Afya ya Uzazi, VVU na UKIMWI. Warsha hiyo imefanyika jijini Dodoma kwa siku mbili Novemba 4 na 5, mwaka huu ambapo vijana kutoka asasi mbalimbali wameshiriki. Baadhi ya washiriki wakichangia Mada kwenye Warsha ya Vijana ya kujadili na kutengeneza jukwaa la Kidigitali la ONGEA. Kupitia Jukwaa hili Vijana watapata taarifa sahihi kuhusu Afya ya Uzazi, VVU na UKIMWI. Warsha hiyo imefanyika jijini Dodoma kwa siku mbili Novemba 4 na 5, mwaka huu ambapo vijana kutoka asasi mbalimbali wameshiriki. Hamissa Selemani kutoka kitengo cha Ubunifu cha Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) akifundisha mada ya “Designing Process” kwa washiriki wa Warsha ya Vijana ya kujadili na kutengeneza jukwaa la Kidigitali la ONGEA. Kupitia Jukwaa hili Vijana watapata taarifa sahihi kuhusu Afya ya Uzazi, VVU na UKIMWI Washiriki wa Warsha ya Vijana wakijadili kwenye makundi namna bora ya kukutengeneza jukwaa la Kidigitali la ONGEA. Kupitia Jukwaa hili Vijana watapata taarifa sahihi kuhusu Afya ya Uzazi, VVU na UKIMWI. - Advertisement - Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp Previous articleOdds Bomba za Meridianbet Wikiendi Hii.Next articleNdalichako: Wekeni programu za kuwalinda wafanyakazi dhidi ya magonjwa Mtanzania Digitalhttp://mtanzania.co.tz/ Related Articles Habari Kuu MIAKA 60 YA MUUNGANO: Rais Samia ahimiza falsafa ya 4R kuuenzi Afya na Jamii OSHA yatoa mafunzo kwa wajasiriamali 250 Arusha Afya na Jamii GGML, OSHA wawanoa mama lishe 50 kukabiliana na majanga ya moto LEAVE A REPLY Cancel reply Comment: Please enter your comment! Name:* Please enter your name here Email:* You have entered an incorrect email address! Please enter your email address here Website: Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ Stay Connected90,904FansLike214,997FollowersFollow586,000SubscribersSubscribe Latest Articles Habari Kuu MIAKA 60 YA MUUNGANO: Rais Samia ahimiza falsafa ya 4R kuuenzi Afya na Jamii OSHA yatoa mafunzo kwa wajasiriamali 250 Arusha Afya na Jamii GGML, OSHA wawanoa mama lishe 50 kukabiliana na majanga ya moto Afya na Jamii TCRA yatoa mafunzo kwa Waandishi wa Habari Mara kuelekea Uchaguzi Biashara na Uchumi Ushirikiano wa Benki ya Stanbic na Ramani waenda kuboresha sekta ya biashara nchini. Load more