23.1 C
Dar es Salaam
Sunday, May 12, 2024

Contact us: [email protected]

Picha| Shule ya Feza yajivunia kufanya vizuri matokeo kidato cha Nne

Makamu Mkuu wa Shule za Feza anayeshughulikia taaluma, Shabani Mbonde akizungumza waandishi wa habari, Dar es Salaam leo Januari 26, 2024 kuhusu matokeo ya mtihani wa Kidato cha Nne kwa ufaulu wa daraja kwanza kwa wanafunzi 78 wa shule hiyo. Katikati ni Makamu Mkuu wa shule hiyo, Richard Mahina.
Wanafunzi wa Shule za Feza waliofanya vizuri katika matokeo ya mtihani wa Kidato cha Nne 2023 kwa ufaulu wa daraja kwanza wakishangilia baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo jijini Dar es Salaam.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
587,000SubscribersSubscribe

Latest Articles