24.8 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

OSHA ya ungana na Wafanyakazi wengine kushiriki Maadhimisho ya Mei Mosi, Dodoma

Na Mwandishi Wetu, Dodoma

Wafanyakazi wa Usalama na Afya Mahali Pa Kazi (OSHA) wameungana na Wafanyakazi wengine nchini na duniani katika maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi duniani Mei Mosi.

Maadhimisho ya mwaka kitaifa yanafanyika jijini Dodoma ambapo, mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassani huku yakiongozwa na kauli mbiu ya Mishahara na Maslahi Bora kwa Wafanyakazi ndiyo kilio chetu: kazi iendelee.

Watumishi wa OSHA wakiongozwa na Mtendaji Mkuu wa OSHA, Khadija Mwenda wameshiriki maadhimisho hayo kitaifa kwa maandamano pamoja na Wafanyakazi wengine yaliyofanyika kwenye Viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma na kupokelewa na Rais Samia.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles