23.4 C
Dar es Salaam
Saturday, April 27, 2024

Contact us: [email protected]

Nedy Music aogopa kuwaliza wanawake

 GLORY MLAY 

STAA wa Bongo Fleva kutoka visiwani Zanzibar, Nedy Music, amesema mara nyingi huwa anakwepa kumuumiza mwanamke kwa sababu gharama yake ni kubwa. 

Akizungumza na MTANZANIA jana, Nedy Music, alisema jambo kubwa alilojifunza kutoka kwa wazazi wake ni kutofanya mambo ambayo yatamtoa machozi mwanamke. 

“Naogopa kumuumiza mwanamke na kumfanyia chochote ambacho nahisi ataumia. Kuna muda unaweza ukawa umekosewa lakini ukaomba msamaha kwa sababu hutaki kumuona mtu huyo akiwa mnyonge au kujisikia vibaya,” alisema Nedy 

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles