27.2 C
Dar es Salaam
Thursday, May 2, 2024

Contact us: [email protected]

Mzee Matata wa Mizengwe afariki dunia

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital

Msanii wa Vichekesho aliyejizoelea umaarufu nchini kupitia kipindi cha ucheshi cha Mizengwe, Jumanne Alela maarufu ‘Mzee Matata’ amefariki dunia jana saa 5:30 usiku katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo alilazwa tangu Juni 13, 2021.

Muigizaji mwenziye wa Tamthilia ya Mizengwe Mkwere Original amesema Mzee Matata alikuwa anasumbuliwa na Ugonjwa wa Kisukari kwa muda mrefu na ndio uliomsababubisha umauti.

Aidha, Mkwere amesema kwa mujibu wa familia ya Mzee Matata, msiba upo Mbagala Chamanzi kwa Mkongo na mazishi yatafanyika kesho saa 7:00 Mchana kwenye makaburi ya Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles