27.2 C
Dar es Salaam
Thursday, May 2, 2024

Contact us: [email protected]

MNANGAGWA AMKARIBISHA TRUMP ZIMBABWE

DAVOS, USWISI


RAIS mpya wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, amesema pamoja na kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump aliyataja mataifa ya Afrika kama yanayonuka, atamkaribisha kuwekeza hasa katika ujenzi wa viwanja vya golf.

Mnangagwa alisema hayo mjini hapa, anakohudhuria Kongamano la Uchumi wa Dunia (WEF) wakati alipokuwa akijibu maswali kuhusu matamshi ya kejeli ya Trump yaliyoripotiwa mapema mwezi huu.

Mnangagwa pia aliahidi kukubali matokeo ya uchaguzi wa mwezi Julai iwapo atashindwa.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles