24.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

JPM amjulia hali Dk. Salim

MWANDISHI WETU-DAR ES SALAAM

RAIS Dk. John Magufuli jana amemjulia hali Waziri Mkuu mstaafu Dk. Salim Ahmed Salim anayepatiwa matibabu jijini hapa baada ya kufanyiwa upasuaji.

Pamoja na kutoa pole kwa Dk. Salim, Rais Magufuli akiwa na mkewe Janeth, aliongoza sala ya kumwombea kwa Mwenyezi Mungu waziri mkuu huyo wa zamani ili apone haraka.

Dk. Salim alilazwa hospitalini Januari Mosi, mwaka huu na hali yake inaendelea vizuri.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles