24.1 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

Dulla Makabila: Situmii mkorogo

GLORY MLAY

MSANII maarufu wa singeli, Dulla Makabila, amekanusa madai ya kuwa anatumia mafuta ya kemikali ‘mkorogo’yanayomfanya kuwa mweupe.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Makabila alisema zamani rangi yake ya weupe ilififia kutokana na shida, kutokana na kipato anachopata rangi yake imerudi.

“Mimi sijichubui kama watu wanavyosema, nilizaliwa na rangi hii, lakini kutokana na shinda ambazo nilipitia hasa katika kufanya biashara kwenye jua ndizo zilinifanya rangi yangu ififie.

“Sasa namshukuru Mungu mambo yamebadilika riziki napata na rangi yangu imerudi, sijawahi kutumia vidonge au mkorogo wa aina yoyote ili niwe hivi” alisema.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles