28.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, March 19, 2024

Contact us: [email protected]

Desclo J, Gaz Fabilouss wana jambo lao

NA CHRISTOPHER MSEKENA

KUTOKA nchini Ufaransa mwanamuziki, Desclo James W a.k.a Desclo J, amerudi kivingine na wimbo, Sape Comme Un Z aliomshirikisha rapa nyota kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Gaz Fabilouss.

Desclo J, ameliambia MTANZANIA kuwa lengo la kufanya ngoma na Gaz Fabilouss ni ukubwa wa msanii huyo nchini Kongo hivyo anaamini atapata mashabiki wapya katika Ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati.

“Muda wowote kutoka sasa video ya Sape Comme Un Z itakuwa kwenye chaneli yangu ya YouTube na mitandao mingine ya kuuza na kununua muziki kama vile Spotify, iTunes, Apple Music, Deezer na mingine yote, huu ni mzuri wa kitofauti kabisa,” alisema Desclo J.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
584,000SubscribersSubscribe

Latest Articles