27.9 C
Dar es Salaam
Wednesday, May 8, 2024

Contact us: [email protected]

Charlemagne Tha God aiponda ngoma ya Drake

New York, Marekani

MTANGAZAJI nyota nchini Marekani, Charlemagne Tha God, ameuponda wimbo mpya wa Drake, Toosie Slide akidai upo chini ya kiwango.

Tha God, amekiambia kipindi cha The Brilliant kuwa licha ya mafanikio ya wimbo huo kwenye mitandao mbalimbali anaona haujafika kiwango cha Drake.

“Ukiwa rapa mkubwa duniani hautakiwi kufuata kiki, sijauheshimu wimbo wake sio mzuri, naona wanaucheza, hizi ni nyimbo zile ambazo zinapendwa kwasababu ya kitu fulani, Drake amejitengeza kama mtu ambaye hatakiwi kufanya hiyo,” alisema Tha God.

Drake aliachia wimbo Toosie Slide wiki mbili zilizopita na ukafanikiwa kutikisa chati mbalimbali huku kwenye mtandao wa TikTok ukitazamwa na watu bilioni 3 kutokana na mtindo wake wa kucheza.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
587,000SubscribersSubscribe

Latest Articles