30.7 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 30, 2024

Contact us: [email protected]

Stanbakora: Nitaoa mwakani lakini Mwarabu

 Stanley Yusuph ‘Stanbakora’
Stanley Yusuph ‘Stanbakora’

NA BEATRICE KAIZA,

MKALI wa vichekesho nchini, Stanley Yusuph ‘Stanbakora’, ameweka wazi kwamba mwakani ndiyo ataoa tena mwanamke mwenye asili ya Kiasia.

Alilifafanulia MTANZANIA kwamba chaguo lake kwa wanawake ni wenye asili hiyo hasa kutoka Uarabuni na awe mcha Mungu.

“Sina mpango na wanawake wa Afrika, napenda mke na mama wa watoto wangu awe mwanamke Mwarabu na anayejua dini,” alisema Stan Bakora.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles