28.6 C
Dar es Salaam
Tuesday, March 19, 2024

Contact us: [email protected]

‘Wanangu nitawalea kawaida’-Lulu

Brighiter Masaki, Dar es salaam

Msanii wa filamu nchini, Elizabeth Michael maarufu kama ‘Lulu’ amewaambia mashabiki zake kuwa akijaliwa kupata watoto wataishi katika maisha ya kawaida na si ya umaarufu.

Lulu amesema hayo leo jijini Dar es salaam kufuatiwa stori zinazoendelea katika mitandao ya kijamii juu ya Paula kajara Mtoto wa msanii maarufu nchini Kajara Masanja.

Pia amesema atawapatia uhuru Watoto wake katika suala la mitandao ya kijamii kwa kuzingatia mipaka na kuangalia umri wa mtoto wake juu ya matumizi ya kimtandao kwa sababu ya kuzikinga athari zinazotokana na mitandao ya hiyo.

“watu watalajie kuwaona Watoto wangu katika maisa ya kawaida kuanzia shuleni, hospialini, barabarani na sehemu zote za kijamii.

“wazazi tunatakiwa kuwataadhari watoto wetu dhidi ya mitandao ya kijamii maana ni chanzo kikuu cha kuleta taswila mbaya kwa Watoto wetu.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
584,000SubscribersSubscribe

Latest Articles