27.2 C
Dar es Salaam
Thursday, May 2, 2024

Contact us: [email protected]

R. Kelly amponza Akon

KAULI ya staa wa muziki, Akon, kusema mkali wa R&B, R. Kelly, apewe apewa nafasi nyingine ya kujirekebisha imemfanya ‘aoge’ matusi huko mitandaoni.

Mashabiki wengi wamemjia juu Akon wakidai R. Kelly aliyekutwa na hatia katika kesi za unyanyasaji wa kingono anapaswa kuadabishwa.

“(Akon) huoni kama umechelewa kidogo??? R. Kelly anapaswa kuacha kubaka wasichana,” amesema mmoja ya watumiaji wa mitandao.

Kwa upande mwingine, Akon amesisitiza kuwa hakuna wa kupinga kipaji kikubwa alichonacho R. Kelly.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles