31.7 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

Kim, Kanye wanaswa tena

KIM Kardashian na Kanye West wamerudiana? Hilo ndilo swali linaloendelea kuumiza vichwa vya wapenzi wa habari za mastaa baada ya wawili hao kunaswa wakiwa pamoja.

Inaeleweka kuwa Kim na Kanye waliachana miezi michache iliyopita lakini hii ya kuonekana wakiwa wametoka kupata chakula cha usiku katika moja ya migahawa maarufu mjini Malibu, Marekani.

Hata baada ya kupata msosi, walipanda gari moja na kutokomea wakiwa na marafiki zao, jambo lililoacha minong’ono kuwa wamerudiana.

Kuachana kwao ilikuwa habari kubwa mwanzoni mwa mwaka huu, ikikumbukwa kuwa waliishi kwenye ndoa yao kwa miaka saba.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles