HomeKitaifa KitaifaMichezoMichezo Kimataifa Picha| Rais Samia na Motsepe Ikulu Chamwino By Mtanzania Digital October 20, 2023 0 2177 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya Bendera (Pennant) ya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) kama kumbukumbu kutoka kwa Rais wa Shirikisho hilo Dkt. Patrice Motsepe Ikulu Chamwino mkoani Dodoma Oktoba 20, 2023. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), Dk. Patrice Motsepe mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma Oktoba 20, 2023. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), Dk. Patrice Motsepe mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino mkoani Dodoma Oktoba 20, 2023. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), Dk. Patrice Motsepe mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino mkoani Dodoma Oktoba 20, 2023. Wa kwanza kushoto ni Rais wa Shirikisho la mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), Dk. Patrice Motsepe, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro watatu kutoka (kulia), Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Hamis Mwinjuma wa pili kutoka kulia, Mshauri wa Rais, Masuala ya Sheria, Jaji George Masaju wa kwanza (kulia), Rais wa Shirikisho la mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia wa pili kutoka kushoto pamoja na Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo (BMT), Neema Msitha wa kwanza (kushoto) mara baada ya mazungumzo Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Oktoba, 2023. - Advertisement - Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp Previous articleDiwani Johari awaasa wanafunzi kujiepusha na mmomonyoko wa maadiliNext articleHassan Ndonga, Oscar Richard wataka kuzichapa juani Mtanzania Digitalhttp://mtanzania.co.tz/ Related Articles Biashara na Uchumi Mhagama: Changamkieni fursa za uwekezaji nchini Biashara na Uchumi ALAT yawanyooshea kidole wabunge kwakutotetea maslahi ya madiwani Afya na Jamii GGML yaja na teknolojia za kisasa maonesho ya OSHA Arusha LEAVE A REPLY Cancel reply Comment: Please enter your comment! Name:* Please enter your name here Email:* You have entered an incorrect email address! Please enter your email address here Website: Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ Stay Connected90,904FansLike214,997FollowersFollow586,000SubscribersSubscribe Latest Articles Biashara na Uchumi Mhagama: Changamkieni fursa za uwekezaji nchini Biashara na Uchumi ALAT yawanyooshea kidole wabunge kwakutotetea maslahi ya madiwani Afya na Jamii GGML yaja na teknolojia za kisasa maonesho ya OSHA Arusha Biashara na Uchumi PPRA, ZPPDA zasaini makubaliano kuenzi miaka 60 ya Muungano Afya na Jamii BAKWATA: Wenza wengi nchini hawana elimu kuhusu ndoa Load more