25.6 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 30, 2024

Contact us: [email protected]

Kayala akamilisha albamu ya pili

kayalaa,NA GLORY MLAY

MKALI wa nyimbo za injili nchini, George Kayala, amekamilisha albamu yake ya pili aliyoipa jina la ‘Maajabu ya Damu ya Yesu’.

Nyimbo hizo zilizopo katika albamu hiyo ni ‘Damu ya Yesu’ ambayo imebeba jina la albamu, ‘Kanitendea Mema’, ‘Fungua Njia’, ‘Dhihirisha Uwezo Wako’, ‘Wastahili Sifa’, ‘Umenikumbuka’ na ‘Tanzania’.

Albamu yake ya kwanza ya ‘Siwema’ nayo ilikuwa na jumla ya nyimbo saba. Kwa sasa mwimbaji huyo yupo katika maandalizi ya upigaji wa picha za video za nyimbo zake hizo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles