24.7 C
Dar es Salaam
Tuesday, March 19, 2024

Contact us: [email protected]

Tshabalala: Ishu ya ubingwa kila mtu acheze mechi zake

Na Winfrida Mtoi, Dar es Salaam

Nahodha Msaidizi wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, amesema suala la ubingwa kwanza kila mtu mechi zake zilizobaki ndio itajulikana nani atachukua taji hilo.

Tshabalala amesema wao kama wachezaji malengo yao ni kuhakikisha wanachukua pointi tatu za kila mechi wanayocheza ili kuwafikisha kule wanapotaka.

“Kwenye suala la ubingwa naweza kusema kila mtu anatakiwa acheze mechi, ukiangalia sana mwenzako anafanya nini unaweza ukapotea,” amesema Tshabalala.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
584,000SubscribersSubscribe

Latest Articles