24.7 C
Dar es Salaam
Friday, May 17, 2024

Contact us: [email protected]

Marquinhos anakuja Chelsea

KOCHA wa Chelsea, Thomas Tuchel, amewataka mabosi wa timu hiyo kumsajili beki kisiki wa PSG, Marquinhos.
Wawili hao walikuwa pamoja PSG na hadi sasa Marquinhos ameendelea kuvaa kitambaa cha unahodha wa timu hiyo.

Huyo atakuwa mchezaji wa pili wa PSG kutua Blues kwa misimu ya hivi karibuni baada ya Thiago Silva kutanguliwa mwaka jana.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
587,000SubscribersSubscribe

Latest Articles