Ibaada ya kumuenzi Hayati Sokoine kufanyika Aprili 12
Na Ramadhan Hassan,Dodoma
IBAADA maalum ya kumbukizi ya miaka 40 ya Hayati Edward Sokoine inatarajiwa kufanyika Ijumaa Aprili 12,mwaka huu ambapo Rais wa Jamhuri ya...
Tanzania, Hungary zasaini mkataba wa ushirikiano sekta ya maji
Na Esther Mnyika Mtanzania Digital
Serikali ya Tanzania na Hungary zimesaini mkataba wa ushirikiano katika sekta ya maji utakaosaidia udhibiti wa mafuriko na maji taka...
UWT kuwezesha wanawake nchini kupata nishati safi ya kupikia
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) umedhamiria kwa vitendo kutekeleza dhamira ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha inamtua kuni...
Wananchi Robanda waondokana na kero ya maji
Na Malima Lubasha, Serengeti
UGUMU katika upatikanaji wa maji kwa wakazi wa Kijiji cha Robanda Kata ya Ikoma wilayani Serengeti mkoani Mara umetatuliwa baada ya...
Halotel yatoa msaada wa Chakula na vifaa vya nyumbani kwa Wanawake wenye mahitaji maalumu Mtwara
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Katika kuhadhimisha mwezi wa kumsheherekea Mwanamke na kukaribisha sikuukuu za Pasaka, Halotel Tanzania yatoa msaada kwa wanawake chini ya Taasisi...
Wizara ya Viwanda yanadi fursa za uwekezaji kwa wawekezaji wa Kichina
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Wizara ya Viwanda na Biashara imefanya mazungumzo na wawekezaji kutoka nchini China na kuwaonyesha fursa zinazopatikana ili waweze kuwekeza nchini...
Maagizo matano ya DC Ilala kwa machinga Kariakoo
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amewataka wafanyabiashara ndogondogo maarufu machinga katika eneo la Kariakoo kuzingatia maelekezo yanayotolewa na...
NDC lawaita wawekezaji nishati mbadala
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) limewaalika wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi kuja kuwekeza katika miradi ya kuzalisha...