23.9 C
Dar es Salaam
Monday, May 20, 2024

Contact us: [email protected]

Azam yabeba mwingine Yanga

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital

Mchezaji wa Yanga, Yannick Bangala raia wa DR Congo, amesaini mkataba wa miaka miwili Azam FC baada ya klabu hiyo kufikia makubaliano yakumnunua kutoka Jangwani.

Bangala ambaye ametambulishwa leo, Julai 29, 2023 na Azam, anakuwa mchezaji wa pili kutoka Yanga kujiunga na timu hiyo baada ya Feisal Salum.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
587,000SubscribersSubscribe

Latest Articles