HomeHabari Kuu Habari KuuKitaifaPhotography Rais Samia awasili Norway kwa ziara ya Kitaifa By Mtanzania Digital February 13, 2024 0 1195 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan awasili Oslo, Norway kwa ajili ya Ziara ya Kitaifa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mfalme Harald V wa Norway mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo Februari 13, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya mapokezi yake katika Kasri la Kifalme, Oslo nchini Norway 13Februari, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mfalme Harald V wa Norway pamoja na Malkia Sonja mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo kwa ajili ya ziara ya Kitaifa Februari 13, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Mfalme Harald V wa Norway mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo Februari 13, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Mfalme Harald V wa Norway wakati wa Wimbo wa Taifa wa Tanzania ukiimbwa katika eneo la Mnara wa Kumbukumbu wa Taifa, Oslo nchini Norway, Februari 13, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kuweka shada la maua katika Mnara wa Kumbukumbu wa Taifa, Oslo nchini Norway Februari 13, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiweka shada la maua katika mnara wa kumbukumbu wa Taifa, Oslo nchini Norway Februari 13, 2024. - Advertisement - Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp Previous articleMatukio kwa Picha: Rais Samia atembelea Bunge la NorwayNext articleDk. Mango aongoza Watanzania kumuaga Lowassa Dar Mtanzania Digitalhttp://mtanzania.co.tz Related Articles Biashara na Uchumi Serikali yaainisha mpango wa kusaidia wachimbaji wadogo nchini Kilimo Jubilee Allianz kuanza kutoa bima ya kilimo Afya na Jamii TAG wajivunia miaka 85 ya ujenzi wa umoja, amani LEAVE A REPLY Cancel reply Comment: Please enter your comment! Name:* Please enter your name here Email:* You have entered an incorrect email address! Please enter your email address here Website: Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ Stay Connected90,904FansLike214,997FollowersFollow587,000SubscribersSubscribe Latest Articles Biashara na Uchumi Serikali yaainisha mpango wa kusaidia wachimbaji wadogo nchini Kilimo Jubilee Allianz kuanza kutoa bima ya kilimo Afya na Jamii TAG wajivunia miaka 85 ya ujenzi wa umoja, amani Kitaifa Wanawake Kipunguni njia nyeupe uchaguzi 2024/25 Kitaifa CCM Morogoro wamjibu Lissu Load more