25.7 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

Funke Etti: Situmii mkorogo

Funke Etti
Funke Etti

LAGOS, Nigeria

 KWA nyakati tofauti, Funke Etti, amekuwa akisemwa kwa madai ya kutumia mafuta ya kujichubua ngozi ‘mkorogo’, lakini mwigizaji huyo amekanusha madai hayo.

Funke alisema yeye hupenda kutumia mafuta ya kawaida ambayo hutumika na mwanamke yeyote kwa ajili ya kung’arisha ngozi na hatumii mkorogo.

“Sijichubui na si kweli kwamba niliwahi kutoa ushauri kwa wanawake wenzangu kuwa kutumia mkorogo ni vizuri.

Kama mimi situmii, kwanini niwashauri wengine kufanya hivyo? Mimi mwenyewe sipendelei hicho kitu. Huwa natumia mafuta ya kawaida ya urembo yanayotusaidia wanawake kung’aa. Hicho ndicho ninachoweza kusema,” alisema.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles